Monday, January 6, 2014

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJIL TANZANIA AIBUA MAZITO


wakati tukiwa ndo tunaanza mwaka mpya wa 2014 huku nako mwimbaji wa muziki wa injili hapa nchi anayefahamika kwa jina la Gazuko ambaye anafanya muziki wa injili kwa style ya kurap na sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa chnguza
amefunguka kwa kutoa mambo yaliyokuwa chini ya kapeti wakati akifanya mahojiano maalumu na blog hii akizungumzia muziki wake ila alifunguka zaidi pale alipoulizwa swali kuhusu wadada ambao huwa wanajifanya wanaimba muziki wa injili alafu mwisho wa siku wa siku wanaonekana katika mitandao ya kijamii wakiwa katika pozi za mitego pamoja na kupiga picha za utupu hivi ndivyo alivyofunguka...
"yeah off course ni ishu ambayo ipo na inanikera sana nakumbuka mwaka wa jana mwanzoni dada mmoja anayeitwa Lissa Mlaki ni mchekeshaji kutoka kundi la vituko show alinipigia simu na kuniambia kuwa nataka nimsaidie jinsi ya kutimiza ndoto zake za kumwimbia Mungu hivyo nikamtafutia mwalimu wa kumfundisha kwa maana alikuwa yupo tanga huku mimi nikiwa dar es salam na aliniambia kuwa ameokoka hivyo nikaenda naye sawa lakini mwishon mwaka mwaka wa jana nilipigiwa simu na rafiki yangu akiniambia nitazame blog fulani kwa kwel nilipotazama nilibaki hoi ila ishu ni kwamba hawa dada zetu waache mchezo wa kumtania Mungu" amesema Gazuko.

Thursday, November 28, 2013

GAZUKO KUACHIA CHUNGUZA WEEK IJAYO


kijana anayefanya vizuri katika anga la muziki wa injili kwa style ya hip hop a.k.a kufoka foka
ambaye anafanya vizuri na track ya Yesu ni Bwana pamoja na Naja mbele zako
huyu si mwingine bali ni Gazuko Mzengaeka ila anafahamika kwa jina la Preacher Gazuko,
Gazuko amezungumza na blog hii na kusema kuwa ndani ya wiki ijayo anatarajia kuachia wimbo
wake mpya baada ya kufanya vizuri na hizo kazi mbili zilizopita,
Pia Gazuko ameongeza kwa kusema kuwa ndani ya wimbo huu ameamua kuwa shirikisha
wakali wengine wa gospel hip hop hapa nchini Tanzania ambao ni Bashando na Mwimba huku chorus
ikiwa imetendewa haki na Shaboka ni wimbo wa tofauti ambao ukiusikiliza ni kama worship flani hivi
bt ni hip hop kwa mujibu wa Gazuko amesema kuwa wimbo huo atautoa kwa mfumo wa audio na utapatikana kwa njia ya internet hivyo watu wote wanaweza kudownload kabla ya jumapili ya tarehe 6 ya mwezi wa 12,
Hivyo amewataka wapenzi wote wa hip hop na sio gospel hip hop tu wakae mkao wa kupokea kile kitu
ambacho Gazuko amewaandalia tunapoelekea kumaliza mwaka 2013 tukamalize na ujio mpya wa Gazuko

Wednesday, October 16, 2013

WAKAZI WA MBEYA MPO TAYARI !?????????????

                                                  Happy Kamili akiwa katika pozi

Kama wewe ni mkazi wa jiji la mbeya na vitongoji vyake  au ikatokea kuwepo ndani ya jiji hilo siku ya jumapili ya 3/11/2013 basi chukua habari kamili zinzoleta happy,
usikose ndani ya ukumbi wa paradise hotel uliopo soweto jijini mbeya ndipo mahali ambapo watu wote muishio mbeya na vitongoji vyake mnaombwa kukusanyika kuanzia saa 7 mchana kwa ajili ya uzinduzi wa album ya tatu inayokwenda kwa jina la msemaji wa mwisho ni Mungu iliyoimbwa na Muimbaji wa nyimbo za injili anayefahamika kwa jina la Happy Kamili ambaye sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa mpango wa Mungu,
huku akisindikizwa na waimbaji kama vile

                                                            Ambele Chapanyota

                                                               Emanuel mgogo

                                                                Martha Baraka
Na wengine wengi mno kama vile Aman Mwasote,Debora mwaisabila........njoo tujumuike pamoja kwa kiingilio cha shilingi 5000 kwa mkubwa na shilingi 1000 kwa mtoo......watu wote mnakaribishwa
KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NAMBA 0754625438

Saturday, September 28, 2013

NELSON MUNYI KUSAMBAZA TUTAFIKA

"kaza mwendooo bado kitambo kidogo tutafika, kaza mwendooo bado kitambo kidogo tutafika"
hap namzungumzia Muimbaji wa nyimbo za injili anayefahamika kwa jina la Nelson Munyi anayetamba na nyimbo
kama nitazamapo na tutafika ameamua kuachia album yake ya kwanza aliyoipa jina ya tutafika
ambayoina nyimbo nane ambazo zipo katika mfumo wa vcd.
Nelson amesema kuwa album yake anaisambaza yeye mwenyewe hivyo amewaomba wamiliki
wa maduka ya cd za jumla na rejareja wawasiliane naye kwa kupata kazi hizo kwa bei yashilingi elfu mbili na mia tano kwa jumla (2500) tu.
muonekano wa cover la dvd ya tutafika
pia unaweza kupata dvd hii kwa mmiliki wa blog hii ambaye si mwingine bali ni Gazuko piga simu namba 0657985598 tukuletee hadi dukani kwako pande zote za jiji la Dar es salam na mikoani pia

Tuesday, January 8, 2013

DOMINICKY KUACHIA NGOMA MPYA HIVI KARIBUNI

                                 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya anayekuja juu, kwa sasa anajiandaa kuachia ngoma yake ambayo ipo katika muundo wa kwaito.Dogo huyu ameshafanya ngoma moja ambayo ni gospal lakini haikuvuma kutokana na kukosa support ya kutosha.
 Nilipata wasaa wa kuzungumza nae lakini anachokiomba ni support coz mpa leo hii hajafanikiwa kupata maneger. ''Ebwana mimi mpaka muda huu,sijafanikiwa kupata maneger ambaye atakuwa akisimamia kazi zangu na kunipeleka studio,na mimi ni niko radhi kwa mkataba wowote ambao nitaingia na mtu atakaejitokeza.''
                                 
   Dominicky ambaye kwa mujibu wake ana nyimbo ambazo ni mordan style ambazo anaamini akiziachia,zitakuja kutingisha..''mpaka sasa nimeshatunga nyimbo kama (MAPENZI NI NOMA,USINGIZI,MASIKINI SINA SAUTI,MAPENZI KITENDAWILI na nyingine nyingi''

Sunday, October 28, 2012

WIMBO WANGU WA MAUMIVU


Find more music like this on G5 world

MAMBO YALIVYOKUWA MKOANI SONGEA KTK TAMASA LA SAFARI CROSS ROAD CARNIVAL

picha mbali mbali zinazoonyesha jinsi mambo yalivokuwa yakiendelea ktk tamasha  hilo ambalo liliwakilishwa na wasanii kama vile Masele cha pombe,Ney wa mitego, Matonya,Masai nyota mbofu, H.baba nawengine wengi
                                                     jukwaa likiandaliwa
                                                       jukwaa likiandaliwa na mafundi
                                               mambo yalianza mdogo mdogo ma-mc
                                            umati wa mashabiki uliudhulia tamasha hilo
                                       masai nyotambofu akiwa chini ya jukwaabaada ya kuimba